

The basics
Quick facts
Intro
Music artist from Dar es Salaam, Tanzania
Gender:
Male
Work field:
Genres:
The details
Biography
Introduction
Joslin (jina halisi anaitwa Joslin Robert Mchala) ni msanii wa muziki wa R&B na Bongo Flava kutoka jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Joslin ni maarufu kwa kutoa zile nyimbo zake ziitwazo "Pafyumu" na "Mshkaji Mmoja hivi" na badaaye kutoa nyimbo nyingine kama vile Niite Basi, Tanzania Vitani n.k.
Joslin ni mwanachama wa kikundi cha Rap na R&B kiitwacho "Wakali Kwanza".
Nyimbo maarufu
- Pafyum
- Mshkaji Mmoja hivi
- Niite Basi
- Tanzania Vitani