Isdory Tarimo
Tanzanian Farmer, Politician and Environmentalist

Isdory Tarimo

The basics
Quick facts
Intro
Tanzanian Farmer, Politician and Environmentalist
Gender:
Male
Places:
Work field:
Birth:
15 November 1954(Rombo District, Kilimanjaro Region, Tanzania; Tanganyika Territory)
Star sign:
Family:
Spouse(s):
Irene Tarimo
Biography menu
Menu

Jump to

Introduction Maisha ya awali na kazi Shughuli za Kilimo na Utumishi wa Umma Tazama pia Marejeo
The details
Biography

Introduction

Isdory Lucas Tarimo (amezaliwa 15 Novemba 1954) ni Mtanzania mwanamazingira, mwanasiasa na mkulima kutoka Mkoa wa Kilimanjaro.

Maisha ya awali na kazi

Tarimo ni mwanasiasa mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama cha Mapinduzi CCM. Kabla ya Serikali kugawanya kata ya Nanjara-Reha iliyokuwa na wakazi takribani 26,000, alichaguliwa kuwa Diwani wa Kata ya Nanjara-Reha, Wilaya ya Rombo kwa mwaka 2000 hadi 2010.Pia ni mwanaharakati wa mazingira akisimamia Taasisi isiyo ya kiserikali inayoshughulika na mazingira, Jumuiya ya Uhifadhi wa Mazingira Tanzania (Tecoso Tanzania).

Shughuli za Kilimo na Utumishi wa Umma

Tarimo ni Katibu Mkuu wa Shirika la Taifa la Wakulima Tanzania, Mtandao wa Vikundi vya Wakulima Tanzania (MVIWATA) akiwakilisha tawi la Mkoa wa Kilimanjaro (MVIWAKI). Mwaka 2022, alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Kilimo Tanzania (Tanzania Agricultural Society - TASO) akiwakilisha mikoa ya Kanda ya Kaskazini, Mkoa wa Manyara, Mkoa wa Arusha na Mkoa wa Kilimanjaro.

Tazama pia

  • Reha
  • Nanjara
  • Tanzania Environmental Conservation Society

Marejeo